19 November 2013

MASKINI KAJALA TUMUOMBEE.....Hukumu ya Kajala Novemba 25 mwaka huu

Kajala Masanja.

Msanii wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu, baada ya mumewe kukata rufaa. Hukumu ya rufaa ilibidi isomwe leo katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam lakini imeahirishwa baada ya Jaji aliyetakiwa kusoma hukumu hiyo kupata hudhuru!

Chanzo: GPL

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname