MAHAKAMA
ya mwanzo, mjini Mbeya, leo imewahukumu kifungo cha miezi 12 kwenda
jela au kulipa faini ya sh.300,000 kila mmoja, watu watano kati ya sita
walioshitakiwa kwa kosa la kuharibu mali katika mchezo wa ligi kuu ya
Vodacom kati ya Mbeya City na Tanzania Prisons. Habari kamili
inakuja..
No comments:
Post a Comment