Asubuhi ya Tarehe 28 October, Ilikua ni siku ya Bahati mbaya kwa mmoja wa marapper wakali kutoka South Africa aitwae Khuli Chana baada ya gari lake kushambuliwa kwa Risasi na Polisi.
Rapper Huyo alimiminiwa Risasi wakati akiwa katika gari lake alipokua akitoka Petrol Station kujaza mafuta kwenye gari na ndipo mapolisi walipoanza kushambulia gari lake kwa risasi bila ya kutoa onyo na kumuumiza rapper huyo kwenye mkono wa kulia na
mgongoni kwa risasai. Kisa cha rapper huyo kupigwa risasi inasemekana kuwa ni kumfananisha rapper huyo na gari lake, na wahalifu ambao walikua wakitafutwa na polisi.
Habari kutoka kwa meneja wa rapper Khuli Chana, amesema kuwa rapper huyo alikimbizwa hospitali kwa ajili ya kupata matibabu haraka na kwa
No comments:
Post a Comment