30 October 2013

HUYU NDIYE MSANII WA BONGO MUVI ALIYEWAPA MAKAVU WASANII WANAO JIPODOA MSIBANI..!!


Msanii katika Kiwanda cha Filamu Nchini Tanzania Baturi amefunguka na kutoa ya moyoni kwa Wasanii na Raia wengine ambao kazi yao ni kujiremba na
kujipodoa Pindi waendapo katika Misaba,kwani amefananisha hali hiyo ni sawa na Kwenda kuuza Sura wakati wenzako wapo katika Kipindi Kigumu.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname