06 September 2013

PICHA 6 ZIKIONYESHA VURUGU ZILIZO ZUKA BUNGENI JANA

Hizi ni badhi tu ya picha za songombingo lililotokea jana ndani ya ukumbi wa bunge.Wabunge wa CHADEMA walipopambana na polisi na kisha kudhibitiwa vilivyo.
Picha moja inaonesha Mh.Mbatia akishangaa utoto,upuuzi unaondelea kati ya wabunge wa CHADEMA na Polisi.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname