21 August 2013

ANGALIA PICHA ZA MSAFARA WA MBIO ZA MWENGE ULIVYOPATA AJALI MKOANI DODOMA:

MBIO za Mwenge wa Uhuru uliokuwa ukikimbizwa katika Wilaya ya Dodoma mjini zimeingia Dosari baada ya kupata ajali kilometa 3 kabla ya kukabidhiwa wiliya ya Mpwapwa.
Ajali hiyo iliyotokea jana majira ya 2;24 asubuhi katika mtelemko wa mlima fufu wilayani Chamwino na kusababisha watu 5 kujeruhiwa na kukimbizwa katika hospital ya mkoa wa dodoma.BOFYA HAPA INAENDELEA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname