24 August 2013

ANGALIA PICHA TRAFIKI FEKI ACHEMSHA KUWAKWEPA MAPAPARAZI:

...Akijificha Waandishi wasimpige picha


JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera za mapaparazi zilizotua Mahakama ya Wilaya Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya 
trafiki.Tukio hilo lilijiri mahakamani hapo Agosti 22, mwaka huu ambapo mshitakiwa alikana mashitaka mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce  Minde.
Trafiki feki huyo alitumia muda mwingi kujificha sura ili kamera zisimchukue lakini alichemsha kwani kila alipojifunua kidogo alikuta kamera ziko mbele yake.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname