06 June 2012

Vipaumbele Vya Bajeti Kambi ya Upinzani



Zitto Kabwe
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
06.06.2012



YAH: VIPAUMBELE VYA KAMBA YA UPINZANI KWA MWAKA WA FEDHA 2012/2013

Ndg. Waandishi wa Habari

Mwaka 2011/2012 Kambi ya Upinzani Bungeni ilitangaza Vipaumbele vyake katika Bajeti Mbadala ambavyo vilikuwa:

1.    Kupunguza misamaha ya kodi mpaka 1% ya pato la Taifa kutoka 3%

2.    Kupunguza kodi kwenye bidhaa za mafuta ya petrol na dizeli ili kupunguza mfumuko wa bei

3.    Kufuta mfumo wa posho za vikao (Sitting allowances).

4.     Kupeleka sehemu ya tozo ya ujuzi (Skills Development levy-SDL) kwenye bodi ya mikopo ya  elimu ya juu.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname