Mwanamuziki
toka mkoani Morogoro anayefanya poa kwa sasa na wimbo wake
wa Leo mwanadada Dayna Nyange a.k.a Mkali wao, amefunguka na
kumpigia saluti mwanamuziki mkongwe toka hapa Morogoro Afande Sele.
Akiongea na mwandishi wetu
toka jijini Mwanza aliko sasa
