Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Geita Mhe. Fatma Mwassa alipowasili Uwanja
wa Ndege wa GGM Geita leo Januari 04,2016 kwa ajili ya kuanza ziara ya
siku mbili ya kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo Mkoani humo.
No comments:
Post a Comment