VITA
ya utumbuaji majipu iliyoanzishwa na Rais Dk. John Magufuli tangu
alipoingia madarakani mwishoni mwa mwaka jana, inazidi kushika kasi,
baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, kusema
wakati wowote kuanzia sasa Serikali itaanza mchakato wa kupitia upya
bei ya umiliki wa vitalu vya uwindaji, ili kuona kama inakidhi vigezo.
No comments:
Post a Comment