06 January 2016

BREAKING NEWS : MADAKTARI WANAOTOA MIMBA SIRI YAFICHUKA,WAANDALIWA KUTUMBULIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya Madaktari vinara wa Hospitali ya Rufaa ya Songea ambao wanasifika kwa kufanya biashara ya kutoa mimba wanawake na wanafunzi kuacha tabia mara moja,lasivyo  atawafukuza kazi na kuwafunga jela.  


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname