30 December 2015

WAZIRI WA FEDHA ATOA KAULI NZITO KUHUSU HATMA YA TANZANIA,AFUNGUKA MAZITO


Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema serikali inatarajia kukusanya kiasi cha Sh. trilioni 1.3 ndani ya mwezi huu pekee
Aidha, amesema ili kuhakikisha serikali inapata mapato ya kutosha, atasimamia vyema suala la kukusanya kodi zinazostahili na kutengeneza mazingira ya watu kulipa kodi. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname