UKIMYA WA LOWASSA ,SUMAYE NA MBOWE KUHUSU MAJIPU YANAYOTUMBULIWA NA MAGUFULI WAZUA SITOFAHAMU
Ukimya wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.
No comments:
Post a Comment