Bibi harusi Mary Michael Mbaya
(kushoto), akimvisha pete ya ndoa mume wake Richard Mwaikenda ambaye ni
mpiga picha mkuu wa gazeti la Jambo Leo na mmiliki wa Kamanda wa Matukio
Blog, baada ya kubariki ndoa yao katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
Tanzania (KKKT), Usharika wa Kivule Dar es Salaam mchana huu.
No comments:
Post a Comment