Bw. Bashir Awale Kulia Mwenye Tshirt ya Njano Akisalimiana na Lowassa |
Siku chache baada ya uchaguzi serikali ya Tanzania
ilimfukuza mtu aliyejulikana alikuwa mashauri wa Kimkakati wa Mgombea
Urais kupitia Chadema, Bw. Bashir Awale (Mkenya ashikiliwa na Polisi
nchini TZee kwa kumpigia debe Lowassa kipindi cha campaigns), kwa kuishi
kimakosa nchini.
No comments:
Post a Comment