Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,
wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo
uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015.
ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu
mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo Dec 5, 2015. Picha na OMR
No comments:
Post a Comment