WATU
wawili wakiwemo Mwanasheria na Mwalimu, wamepandishwa kizimbani katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka
ya kula njama za kumuua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Jaji mstaafu Damian Lubuva na familia yake.
Washitakiwa
hao, Mwalimu Samwel Gikaro (30) na Mwanasheria Angela Mbonde (32)
walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu
Mkazi Thomas Simba.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment