Aliyekuwa
katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilbroad Slaa,
amefunguka juu ya kauli ya mchungaji wa Kanisa la ufufuo na uzima
Josephat Gwajima, baada ya kusema kuwa anachokifanya kwa sasa rais
Magufuli ndio wananchi walikuwa wanakihitaji kwa muda mrefu
No comments:
Post a Comment