01 December 2015

BREAKING NEWS : SAKATA LA UFISADI LILILOIBULIWA NA UINGEREZA STANBINK BENKI TANZANIA YATAKIWA KUILIPA SERIKALI ZAIDI YA BILIONI 13 KWA KUFANYA UDANGANYIFU


Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania   



No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname