14 December 2015

BREAKING NEWS : MAUWAJI MOROGORO,MKULIMA AUWAWA,WAZIRI ATUA HARAKA

Mkulima mmoja auawa, mwingine ajeruhiwa wakiwemo askari polisi wawili kwenye mapigano dhidi ya wafugaji wa kimang’ati kwenye kijiji cha Dihimba Turiani, mkoani MorogoroMkuu wa Wilaya ya Mvomero, Betty Mkwasa amesema mapigano hayo yametokea baada ya wafugaji kutaka kuwachukua kwa nguvu ng’ombe zaidi ya 150 waliokuwa wakishikiliwa na wakulima kwenye ofisi ya kijiji hicho  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname