Nasib Abdul ni jina halisi la Diamond Platnumz.
Miss
Tanzania huyo wa mwaka 2006 na muigizaji wa filamu alikuwa akijibu
swali kwenye kipindi cha Hitzone kupitia kituo cha redio cha Jembe FM
cha jijini Mwanza alipoulizwa ni mwanaume gani ambaye alitamani awe mume
wake wa ndoa.
No comments:
Post a Comment