03 November 2015

WEMA SEPETU: Nasib Abdul Angekuwa Mume Wangu wa Maisha!


Nasib Abdul ni jina halisi la Diamond Platnumz. 
Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na muigizaji wa filamu alikuwa akijibu swali kwenye kipindi cha Hitzone kupitia kituo cha redio cha Jembe FM cha jijini Mwanza alipoulizwa ni mwanaume gani ambaye alitamani awe mume wake wa ndoa.  
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname