Ikiwa
ni siku chache baada ya mwimbaji Diamond Platnumz kuwa msanii wa kwanza
wa bongo fleva kuwa na wafuasi milioni 1 kwenye mtandao wa kijamii wa
Instagram, mwigizaji Wema Sepetu ameiandika rekodi kwa kuwa staa wa pili
Tanzania kufikisha followers milioni moja.
No comments:
Post a Comment