04 November 2015

WEMA SEPETU AWA MTANZANIA WA PILI KUFIKISHA FOLOWERS MILIONI 1 ISTAGRAM


Ikiwa ni siku chache baada ya mwimbaji Diamond Platnumz kuwa msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwa na wafuasi milioni 1 kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, mwigizaji Wema Sepetu ameiandika rekodi kwa kuwa staa wa pili Tanzania kufikisha followers milioni moja.   

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname