Katika
kipindi cha kuuliza maswali kwa wagombea nafasi za Upika,Mbunge mpya wa
jimbo la Mtama Nape Nnauye aliyeuliza swali lilotafsiriwa na wabunge
kuwa ni la kejeli na vijembe hali iliyomfanya mwenyekiti wa muda wa
kikao Adrew Chenge kusema kuwa Swali la NAPE siyo Swali.Hata Ole Medeye
wa chamdema alipopata nafasi alise ma kuwa kinachomsumbua Nape ni utoto!
No comments:
Post a Comment