18 November 2015

SAMATTA ATOA YA MOYONI KUHUSU KICHAPO CHA TANZANIA KUPIGWA BAO 7


Nyota wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta ameandika kwenye account yake ya facebook kuonesha masikitiko yake baada ya Stars kupokea kichapo cha magoli 7-0 mbele ya Algeria kwenye mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi uliochezwa jana usiku kwenye mji wa Blida, Algeria.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname