Baada ya upepo wa Uchaguzi Mkuu kuanza kutulia, baadhi ya makada wa CCM
wameanza kutuhumiana kuwa unafiki na hujuma zilizofanywa na baadhi ya
wanancha wa chama hicho zimesababisha kishindwe kufanya vizuri katika
baadhi ya maeneo kwa ngazi za udiwani na ubunge.
No comments:
Post a Comment