03 November 2015

CCM Watuhumiana kwa Unafiki Kila Kona Kwa Kushindwa Ubunge na Udiwani Baadhi ya Majimbo



Baada ya upepo wa Uchaguzi Mkuu kuanza kutulia, baadhi ya makada wa CCM wameanza kutuhumiana kuwa unafiki na hujuma zilizofanywa na baadhi ya wanancha wa chama hicho zimesababisha kishindwe kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo kwa ngazi za udiwani na ubunge.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname