26 November 2015

BODABODA APIGWA RISASI


Yusuf Ramadhan.
Yusuf Ramadhan.Haruni Sanchawa
KIFO njenje! Kijana Yusuf Ramadhan (26), mkazi wa Chamazi jijini Dar, amenusurika kuuawa baada ya kupigwa risasi shavuni na mtu anayesadikika kuwa ni jambazi aliyekuwa amelenga kumpora pikipiki yake aina ya boksa.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname