17 October 2015

Tunduma: Watu wakesha uwanjani wakimsubiri Lowasa



Hii ndiyo Tunduma bwana, Baada ya kusikia kwamba Lowassa, kipenzi na kiongozi wa Mabadiriko hapa Nchini atakuwepo hapa Tunduma leo hii mnamo kuanzia saa tisa alasiri, Wananchi wamekesha uwanja wa MAGEUZI (Zamani uwanja wa Dr Slaa) Shule ya Msingi Tunduma.

SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname