19 October 2015

Nyumba Ya James Mbatia Yateketea Kwa Moto



Nyumba ya makazi ya mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia imeteketea kwa moto siku ya Jumamosi, majira ya saa saba u nusu mchana, kwa kile kilichoelezwa kuwa huenda ni hitilafu ya umeme unaosemekana kukatika asubuhi na kurejea mchana kwa nguvu kubwa.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname