Nyumba
ya makazi ya mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia
imeteketea kwa moto siku ya Jumamosi, majira ya saa saba u nusu mchana,
kwa kile kilichoelezwa kuwa huenda ni hitilafu ya umeme unaosemekana
kukatika asubuhi na kurejea mchana kwa nguvu kubwa.
No comments:
Post a Comment