Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Mlowo
kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika Viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi
mkoani Mbeya. Pamoja naye ni Mjumbe wa katai ya kampeni za CCM Kitaifa
Mwigulu chemba.
No comments:
Post a Comment