17 October 2015

BREAKING NEWS: MAMA REGINA LOWASSA USO KWA USO NA MWANA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE


Mama Lowassa alishangazwa na umati uliojitokeza baada ya taarifa ya masaa matutu kuwa atasimama Chimala. Mh. Mwang'ombe akitoa shukrani zake kwa mama Lowassa kufika Mbarali alisema "Mbarali ina wapiga kura 143189 na watu wa Mbarali wameonyesha kila dalili ya kutaka mabadiliko". Mwang'ombe aliwaomba watu wa Mbarali wampeleke Dodoma akihutubia na kuwasisitiza wajitokeze kwa wingi Jumapili, tarehe 18/10/2015 saa 3 asubuhi ambapo Mh. Lowassa atakuwa anaunguruma naye.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname