Kesi ya wapiga kura kukaa mita 200 yaahirishwa
MAHAKAMA
Kuu ya Tanzania, imehairisha kesi namba 37 ya mwaka huu, ya mlalamikaji
kuiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha
Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita
200 baada ya kupiga kura katika vituo. Anaandika Josephat Isango …
No comments:
Post a Comment