Mke
wa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe
Magufuli, Janeth Pombe. KUMEKUCHA! Siku chache baada ya Waziri wa
Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, mkewe, Janeth Pombe
amechambuliwa vilivyo na walimu wenzake, Amani lina kila kitu.
Juzi,
Amani lilifika Shule ya Msingi Mbuyuni, Oysterbay jijini Dar ambayo
Janeth amekuwa akifundisha na kufanikiwa kuzungumza na mwalimu mkuu wa
shule hiyo na walimu wengine.
No comments:
Post a Comment