08 September 2015

WizKid na yeye afikisha followers milioni moja Instagram

Muimbaji kutoka Nigeria Davido alifikisha followers milioni moja kwenye mtandao maarufu wa kijamii wa Instagram na kutoa zawadi ya ada ya shule kwa mwanafunzi mmoja aliyetaka kwenda kusoma Uingereza.
wizkid
Muimbaji mwingine nae kutoka Nigeria WizKid naye amefikisha followers milioni moja instagram.
Wiz hajandika kitu chochote awali kuhusu kufikisha namba hii na kitu gani atafanyia mashabikiwa wake.
Wiz-KID

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname