Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.
HOTUBA
ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa,
aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia
tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri
wake, Ijumaa lina kila kitu.
No comments:
Post a Comment