Baadhi
ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini wakiongozwa na Jacob Steven
a.k.a JB wakiwa wamenyanyua juu mikono yao kwa pamoja ni Ushindi
sambamba na Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (wa tatu
kushoto),kuonesha kuwa wasanii hao wanamuunga mkono Dkt Magufuli katika
mbio zake za kuusaka Urais kwa kutembea nchi nzima kutumia Bajaji zao
tano,ambapo Bajaj mojawapo itakuwa na kazi ya kukusanya kadi za wale
wanaomua kurudi/kujiunga na chama cha CCM.
No comments:
Post a Comment