| Mteja wa muda mrefu wa bia ya Tusker
na mkazi wa Goigi, Mbezi Beach aliyefahamika kwa jina moja tu la Chong akiifurahia
bia hiyo huku akikabidhiwa zawadi yake ya fulana na Msimamizi
wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Mbezi Beach Obedi Salema
katika hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi Beach
jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye
kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Promosheni hii
inaendelea mikoani pia huku lengo kuu likiwa ni kuhamasisha baa
mbalimbali za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli linapokuja suala la utoaji
huduma kwa wateja lakini pia kuzisaidia baa hizo kuongeza mauzo ya siku wakati
wa promosheni. |
No comments:
Post a Comment