Wakati huo huo, Mfanyabiashara maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Dk Wilbroad Slaa ambaye katika mkutano wake jana na waandashi wa habari alidai kupata vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa Bwana Rostam wakati alipotoa orodha ya watuhumiwa wa ufisadi Mwembeyanga
BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YOTE YA ROSTAM
BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YOTE YA ROSTAM
No comments:
Post a Comment