03 September 2015

ROSTAM AZIZ AMJIBU DK SLAA, AMLIPUA VIBAYA DR SLAA


Wakati huo huo, Mfanyabiashara maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Dk Wilbroad Slaa ambaye katika mkutano wake jana na waandashi wa habari alidai kupata vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa Bwana Rostam wakati alipotoa orodha ya watuhumiwa wa ufisadi Mwembeyanga

BOFYA HAPA KUSOMA TAARIFA YOTE YA ROSTAM

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname