NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI
Kamati
ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti
mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza
nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira
wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni
mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia
mchezaji wa Azam FC John Bocco.
No comments:
Post a Comment