Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Jaji Damian Lubuva akisalimiana na Mwakilishi wa Chama cha Kitaifa cha
Watu Wasioona Zanzibar (ZANAB), Adili Mohamed wakati wa mkutano baina ya
taasisi za watu wenye ulemavu nchini na NEC iliyofanyika leo Jumanne
Septemba 29, 2015 Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment