Mgombe
ubunge kwa kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA, John Mnyika, jana
ameonyesha kuwa hata yeye haungani mkono na rafiki wake wa karibu Dr
Slaa, na kumwita Samson aliye shawishiwa na Delila kukisaliti chama.
"Si mnamkumbuka Samsoni wetu aliyedanganywa na Delila..? anayesema sisi tumehamisha uchafu chooni na kuuweka sebureni..?
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
"Si mnamkumbuka Samsoni wetu aliyedanganywa na Delila..? anayesema sisi tumehamisha uchafu chooni na kuuweka sebureni..?
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment