Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa
akiwa ameambatana na Mkewe, Mama Regina Lowassa, wakiwapungia mikono
maelfu ya wananchi wa Sumbawanga Mjini, waliofurika kwenye Uwanja wa
Kizwitwe, leo Sepremba 2, 2015.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZOTE
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZOTE


No comments:
Post a Comment