29 September 2015

MGOMBEA URAIS WA UKAWA EDWARD LOWASSA AENDELEA KUSAKA KURA MKOANI TANGA


Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakimlaki kwa shangwe Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Kisiwani, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo leo Septemba 28, 2015. 
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname