22 September 2015

MATAJIRI WATANO WALIOIBEBA CHADEMA KWENYE HALAMBEE YA KUCHANGIA KAMPENI ZA UCHAGUZI


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname