19 August 2015

Picha,Huyu ndio mume wa Meninah,ni mtoto wa Profesa Muhongo.


MENINAH noma.jpg 50
Hii ni piha ya familia mpya ya msanii wa bongo fleva Meninah, Aliyekuwa Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo sasa ni official Baba mke wa Meninah Atick.
Meninah amefunga ndoa na mwanae Abdukarim Haule.
Gazeti la Mtanzania limeripoti kuwa mapenzi ya Meninah yamepelekea kijana huyu kubadili dini na jina na kuwa AbdulKarim Haule ili aweze kumuoa Meninah ambaye ni Muislamu.
Hii ni post ya Meninah kweney instagram .
MENINAH noma
MENINAH noma.jpg 34

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname