Hii ni piha ya familia mpya ya msanii wa bongo fleva Meninah, Aliyekuwa Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo sasa ni official Baba mke wa Meninah Atick.
Gazeti la Mtanzania limeripoti kuwa mapenzi ya Meninah yamepelekea kijana huyu kubadili dini na jina na kuwa AbdulKarim Haule ili aweze kumuoa Meninah ambaye ni Muislamu.
Hii ni post ya Meninah kweney instagram .
No comments:
Post a Comment