23 August 2015

PICHA KUTOKA JANGWANI DIAMOND NA WEMA LIVE JANGWANI

Kama kawaida uzinduzi wa kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na madiwani, uzinduzi wa CCM ambao ulipambwa na uwepo pia wa makada wa CCMkutoka katika tasnia ya filamu na wasanii wa bongofleva pia walikuwepo licha ya kutokana na ufinyu wa muda waliopata nafasi ya kuperform hadi sasa ni Peter MsechuYamoto Band na Diamond Platnumz sambamba na timu ya watu wake.Kwa upande wa wasanii wa filamu na baadhi ya wasanii wa muziki wa bongofleva wao walipanda katika stage na kuimba wimbo wa taifa kwa pamoja. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname