22 August 2015

MCHUNGAJI MTIKILA ADONDOKEA PUA URAIS,AKATALIWA NA TUME,SOMA HAPO KUJUA


Mgombea Urais wa tiketi ya Chama cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila alipokwenda kuchukua fomu za urais
WANASIASA wakongwe nchini, Christopher Mtikila na John Lifa- Chipaka wametupwa nje ya kinyang’anyiro cha kugombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kushindwa kutimiza vigezo vya kisheria. Anaandika Jabir Idrissa … Bofya (endelea).

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname