| Dj wa E-fm anayetambulika kwa jina la Dj Skit,
akiporomosha burudani ya muziki ndani ya baa ya Safari resort ya Kimara jijini
Dar wakati wa hafla ya kuipongeza baa hiyo iliyoibuka mshindi wa wiki wa
kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani. Lengo la kampenii likiwa ni kuhamasisha
baa mbalimbali za mitaa tunayoishi kufanya kweli wanapotoa huduma kwa wateja. |
No comments:
Post a Comment