09 July 2015

HAYA NDO MAGARI YA KUMPOKEA OBAMA NCHINI KENYA YAKIWASILI NA NDEGE TOKA MAREKANI

2000
Zimebaki kama wiki mbili hivi ugeni wa White House utue pale Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi Kenya kama ambavyo iliahidiwa.
Safari ya kihistoria ya Rais Obama ndani ya Kenya inakaribia, huu ni uthibitisho mwingine kwamba mambo yameiva… Gari za watu wa Usalama tayari zimeshushwa Nairobi na pia kuna Helicopter zaidi  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname