Zimebaki kama wiki mbili hivi ugeni wa
White House utue pale Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi Kenya
kama ambavyo iliahidiwa.
Safari ya kihistoria ya Rais Obama
ndani ya Kenya inakaribia, huu ni uthibitisho mwingine kwamba mambo
yameiva… Gari za watu wa Usalama tayari zimeshushwa Nairobi na pia kuna
Helicopter zaidi
No comments:
Post a Comment