Diva
wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja anayetambulika
kwa jina la Cookie, Aunt Ezekiel, amefungukia kuhakikisha anampa sapoti
ya nguvu shosti wake, Wema Sepetu katika harakati zake za kuwania
ubunge.
unt amesema kuwa pamoja na kwamba yeye hafahamu siasa hata kidogo na hatarajii kujiingiza huko, lakini anatambua Wema ameamua kutangaza nia ya kugombea, hivyo kama rafiki yake mkubwa atahakikisha anazunguka naye kila sehemu ili kumsaidia atimize ndoto zake za kuingia mjengoni na kuwatumikia wananchi wa Singida.
BONYEZA KUSOMA YOTE
unt amesema kuwa pamoja na kwamba yeye hafahamu siasa hata kidogo na hatarajii kujiingiza huko, lakini anatambua Wema ameamua kutangaza nia ya kugombea, hivyo kama rafiki yake mkubwa atahakikisha anazunguka naye kila sehemu ili kumsaidia atimize ndoto zake za kuingia mjengoni na kuwatumikia wananchi wa Singida.
BONYEZA KUSOMA YOTE
No comments:
Post a Comment