03 July 2015

AUNT EZEKEL : NITAMUUNGA MKONO WEMA SEPETU KATIKA SAFARI YAKE KUGOMBEA UBUNGE

 
Diva wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja anayetambulika kwa jina la Cookie, Aunt Ezekiel, amefungukia kuhakikisha anampa sapoti ya nguvu shosti wake, Wema Sepetu katika harakati zake za kuwania ubunge.

unt amesema kuwa pamoja na kwamba yeye hafahamu siasa hata kidogo na hatarajii kujiingiza huko, lakini anatambua Wema ameamua kutangaza nia ya kugombea, hivyo kama rafiki yake mkubwa atahakikisha anazunguka naye kila sehemu ili kumsaidia atimize ndoto zake za kuingia mjengoni na kuwatumikia wananchi wa Singida.  


BONYEZA KUSOMA YOTE

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname